Thierry Henry Mbioni kurejea Arsenal Thierry Henry Mbioni kurejea Arsenal
Nyota wa zamani wa Arsenal Thierry Henry ameiaga timu yake ya New York Red Bulls aliyokuwa anaichezea baada ya mkataba wake kuisha . ...
https://zindukaleo.blogspot.com/2014/12/thierry-henry-mbioni-kurejea-arsenal.html
Nyota wa zamani wa Arsenal Thierry Henry ameiaga timu yake ya New
York Red Bulls aliyokuwa anaichezea baada ya mkataba wake kuisha .
Henry ameichezea Red Bulls kwa muda wa miaka minne na nusu na inadhaniwa kuwa huenda akatangaza kustaafu soka baada ya kuwa kwenye mchezo huo kwa karibu miaka 20 .
Henry ambaye katika ubora wake aliwahi kuzichezea timu za As Monaco ,
Juventus , Arsenal na Fc Barcelona ukiachilia mbali timu ya taifa ya
Ufaransa alinukuliwa akisema kuwa angependa kurejea kwenye klabu yake ya
zamani ya Arsenal ambako inaaminika kuwa atajiunga na benchi la ufundi
chini ya kocha wake wa zamani Arsene Wenger .

Moja ya ishara zilizowapa watu sababu ya kuamini kuwa huenda kuna mpango wa nyota huyo kurejea Arsenal ni kitendo chake cha kubadili picha ya ukurasa wake rasmi wa mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo alitoa picha inayomuonyesha akwia amevalia jezi ya New York Red Bulls na kuweka picha ya uwanja wa nyumbani wa Arsenal The Emirates Stadium .
Henry hadi leo anashika nafasi ya nne kwenye orodha ya wafungaji bora wa ligi kuu ya England katika historia ya ligi hiyo na amewahi kutwaa mataji karibu yote kluanzia kombe
Henry ameichezea Red Bulls kwa muda wa miaka minne na nusu na inadhaniwa kuwa huenda akatangaza kustaafu soka baada ya kuwa kwenye mchezo huo kwa karibu miaka 20 .
Moja ya ishara zilizowapa watu sababu ya kuamini kuwa huenda kuna mpango wa nyota huyo kurejea Arsenal ni kitendo chake cha kubadili picha ya ukurasa wake rasmi wa mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo alitoa picha inayomuonyesha akwia amevalia jezi ya New York Red Bulls na kuweka picha ya uwanja wa nyumbani wa Arsenal The Emirates Stadium .
Henry hadi leo anashika nafasi ya nne kwenye orodha ya wafungaji bora wa ligi kuu ya England katika historia ya ligi hiyo na amewahi kutwaa mataji karibu yote kluanzia kombe

