NZAE QUEEN KYOMO ataka michezo ithaminiwe

BINGWA wa zamani wa mashindano ya riadha ambaye alinyakua medali ya dhahabu na SHABA ya mashindano ya ALL AFRICAN GAMES miaka ya THEMAN...

BINGWA wa zamani wa mashindano ya riadha ambaye alinyakua medali ya dhahabu na SHABA ya mashindano ya ALL AFRICAN GAMES miaka ya THEMANINI mtanzania NZAE QUEEN KYOMO ametaka michezo ithaminiwe kwani ni utajiri kwa kwa nchi za Ulaya

KYOMO amesema watanzania wawekeze kwenye michezo ili iwaletee maendeleo.

KYOMO anatarajia kuendesha tamasha la michezo katika viwanja vya chuo kikuu cha DSM ama LUGALO, kwa lengo la kuibua vipaji kwa vijana.

Related

Sports 103161519418130186

Post a Comment

emo-but-icon

Recent

Hot in week

item