Hiki ndicho alichokisema Laveda baada ya tuhuma za kujichuwa ndani ya BBA

Mshiriki wa BBA 2014 Laveda kwa mara ya kwanza amezungumza na soso fresh ya Clouds Fm inayoongozwa na Fetty na kufunguka juu ya story zi...

Mshiriki wa BBA 2014 Laveda kwa mara ya kwanza amezungumza na soso fresh ya Clouds Fm inayoongozwa na Fetty na kufunguka juu ya story zilizopo mtaani zinazodai kuwa mshiiriki mwezake kutoka Bongo Idris alikasirishwa na kitendo cha kumkuta akijichua mara baada ya kupiga mitungi live kupitia runinga za Africa
Laveda amesema kuna miss information kubwa sana kwenye media, hasa pale mtu anapoongea kila mtu anakuwa anadaka yale madai anayoongea na kusema kuwa Idris alikasirishwa na msichana mwingine na wala haikuwa yeye aliemkasirisha.
unajua pale BIg Brother wanakuwa wanaficha brands zote sasa sijui labda kuongea kuhusu vivutiio ya nchi yangu na pia kuongea na ma housemate wangu kwamb abaada ya big brother tutafanya hivi na hivi  because i was so impressed ..........so i think ile pia imecheza 
msikilize zaidi  hapa chini 

Related

Entertainment 6564953921833373730

Post a Comment

emo-but-icon

Recent

Hot in week

item