CCM kuanza ziara mkoa wa LINDI na MTWARA
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, NAPE NNAUYE Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi –CCM ABDULRAHMAN ...
https://zindukaleo.blogspot.com/2014/11/ccm-kuanza-ziara-mkoa-wa-lindi-na-mtwara.html
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, NAPE NNAUYE
Akizungumza na waandishi wa habari mjini DSM Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, NAPE NNAUYE amesema ziara hiyo ni mwendelezo wa ziara ya sekreritariet ya halmashauri kuu ya Taifa ya CCM kujenga na kuhimiza uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 -2015.
Katika ziara hiyo KINANA anatarajiwa kusikiliza changamoto zinazowakabili wananchi ikiwa ni pamoja na kupata fursa ya kufanya mikutano ya ndani na ya hadhara.

